USIMAMIZI WA FEDHA KATIKA BIASHARA YAKO
SEHEMU YA KWANZA UTANGULIZI
Moja kati ya elimu muhimu sana kwa kila mjasiariamali ni elimu kuhusu usimamizi wa fedha, elimu ya usimamizi wa fedha ndiyo itakayo msaidia mjasiriamali kuwa na uendelevu (Stability( katika biashara yake kwasababu suala sio kuwa na biashara tu bali ni kuwa na biashara yenye kuendelea.
Usimamizi wa fedha ni kitendo cha kuweka mipango na kudhibiti shughuli zote zinazo husu masuala ya fedha katika biashara, kampuni au taasisi fulani.
Kwanini unapaswa kujifunza usimamizi wa fedha katika biashara yako .
1. Unapaswa kujifunza usimamizi wa fedha kwasababu ili uwezekujua ni njia ipi inaweza kukusaidia kukuza mtaji wako kama lakini katika hatua ya awali ni vema ukalifahamu hili kwasababu itakusaidia kujua mahitaji yako ya mtaji kulinga na biashara unayokusudia kuanzisha.
i) Mkopo
ii) Kuweka fedha zako mwenyewe
iii) Mkopo na fedha zako mwenyewe
2. Unapaswa kujua usimamizi wa fedha kwasababu itakusaidi kuweka usalama katika biashara yako, mjasirimali yoyote yule mwenye elimu ya masuala ya fedha kuwekeza kwenye sehemu salama ya fedha zake yaani kwa ufupi mahali ambapo fedha zake zitaendelea kujizalisha na sio kupotea.
Itaendelea
Itaendelea
Imeandaliwa na
James Albert
Nambari ya simu +255717 162 510
Barua pepe jamesalbert157@gmail.com
Fact
ReplyDelete