Skip to main content

Posts

Showing posts from August, 2023

Namna Ya Kutengeneza Brand

 Namna ya utengeneza chapa ya biashara yako ni muhimu sana ili uweze kuliteka soko la bidhaa/huduma unayoiuza. Ni mchakato wa kutengeneza utambulisho wa pekee ili kijitofautisha wa washindani wako sokoni. Chapa (brand) nzuri inavutia wateja wako na kuwasaidia kuweza kukuamini katika biashara yako kujenga chapa (brand) sio jambo jepesi lakini ni kitu ambacho kinawezakana na ni muhimu kwaajili ya mafanikio ya muda mrefu katika biashara yako. Biashara ambayo imejengewa brand nzuri ina vutia wateja wengi na ambao ni sahihi kwaajili ya biashara. Ili kujenga brand inahitaji kujua aina ya wateja ambao unawakusudia, kujua mahitaji yao na vitu wanavyopendelea. Katika makala hii tutajifunza namna ya kutengeneza brand ya biashara yako. Haijalishi wewe ni mtu mwenye biashara mpya sokoni au umekuwepo sokoni kwa muda mrefu lakini ukweli ni kwamba kutengeneza brand ya pekee ni suala muhimu. Namna ya kutengeneza brand. i. Kabla ya kuanza kubrand biashara yako ni muhimu kuwa na uelewa wa kutosha kuhusi

Namna ya Kuingiza Pesa Mtandaoni.

   Kuingiza pesa mtandaoni katika nyakati hizi za mapinduzi ya teknolojia kumekuwepo na hamasa kubwa ya watu kutengeneza pesa kupitia mtandao wa inteneti jambo ambalo sio baya lakini linahitaji mpango madhubuti. Kuingiza pesa mtandaoni inawezekana kabisa kupitia jitihada makusudu. Ukweli ni kwamba sio jambo jepesi, inahitaji kuwa mbunifu, bidii na ujuzu wa namna ya kuingiza pesa . Baadhi hapa chini ni namna ya kuingiza pesa mtandaoni   1. Namna ya kwanza unaweza kuingiza pesa kupitia blog kwa kuuza bidhaa ndani yake kama vitabu au course ambazo umetengeneza mwenyewe na kuuzia watu wengine. 2. Namna ya pili  ni  kuingia makubaliano na baadhi ya kampuni. Hii itakupa fursa ya ili kutangaza bidhaa zao kupitia blog na wao wakakulipa commission fulani ambayo mmekubaliana nao ili uweze kuingiza pesa kupitia mtandao . 3. Namna ya tatu kuingiza pesa mtandaoni ni kutangaza aina ya huduma unayoweza kuwapa watu na wao waka tayari kulipia kupitia mtandao wako wa blog . 4. Unaweza ya nne  ni kujisa

Kutengeneza Pesa Mtandaoni.

Kutengeneza pesa mtandaoni ni jambo ambalo linaweza kupunguza  changamoto ya upungufu wa fursa za ajira nchini. Kila mwaka mamia elfu ya vijana wanahitimu kutoka katika vyuo vya kati na vyuo vikao na kuingia katika soko la ajira nchini Tanzania. Mambo Muhimu Ya Kijana Kuzingatia ili Kutengeneza kipato mtandaoni. Chagua unahitaji kufanya nini  Ukweli ni kwamba huwezi kufanya kila kitu mtandaoni kwasababu fursa zipo nyingi sana. Unahitaji kuchagua jambo ambalo unahitaji kufanya ili kutengeneza pesa mtandao. Uchaguzi wako unatakiwa kutegemeana na utafiti ambao umeufanya ni ujuzi gani ambao unahitajika sokoni au ni bidhaa gani inahitajika sokoni Mtaalamu wa mauzo ndugu Amos Nyanda anasema "Soko ni maabara hivyo halidanganyi" Kumbuka huduma au bidhaa unayotaka kupeleka sokoni sio kwaajili yako hivyo ni busara soko liamue huduma gani au bidhaa gani inahitajika ili uweze kutengeneza pesa mtandaoni. Kubali kujifunza Ili uweze kuingiza kipato mtandao ni lazima uwe ni mtu ambaye uko ta