Kongamano la uwekezaji katika kilimo
SIKU:
Jumanne, May 24 saa 2:30 Asubuhi
MAHALI:
Julius Nyerere International Convention Centre - JNICC
Shabaan Robert St/Garden Avenue, Dar es Salaam, Tanzania
KUHUSU:
Kusudi la kongamano hili ni kuwaweka pamoja wadau wote wa kilimo na kujadili nini kifanyike kusaidia vijana wengi kushiriki kilimo biashara
Taarifa zaidi na kufanya booking ,Tembelea tovuti ifuatayo:
|



Comments
Post a Comment